Kwa mujibu wa Kitengo cha tarjama cha Shirika la Habari la Hawza, usindikizaji wa mwili wa Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei umeanza leo Jumatano kutokea Daraja la Kufa mjini Najaf Ashraf, huku ukishuhudiwa na ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iraq.
Hafla hiyo imehudhuriwa na umati mkubwa wa raia.

Mwili wa Kiongozi Shahidi wa Iran ulisindikizwa katika mazishi hayo mbele ya ushiriki mpana wa maulamaa, viongozi wa kidini na kisiasa, mazuwari pamoja na wananchi wa Iraq katika mji wa Najaf Ashraf.




Maoni yako